Shirika la Tokushukal Medical la Japan linaendelea kushirikiana kuboreshe Upatikana wa huduma ya Afya kwa wananchi kupitia hospital ya Rufaa ya Benjamini Mkapa Dodoma

Na Barnabas Kisengi Dodoma Naibu Waziri wa Afya, Dkt Godwin Mollel ameushukuru uongozi wa Shirika la afya la Japan, TOKUSHUKAI MEDICAL GROUP kwa kuendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania kupitia Hospitali ya Benjamin Mkapa kuboresha upatikanaji wa huduma kwa wananchi. Dkt. Mollel ametoa pongezi hizo Machi 14 alipokutana na uongozi wa Shirika hilo kutoka Japan